- Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) imebaini Watanzania wengi wamepoteza kitambulisho cha mpiga kura.
Dodoma. Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) imebaini Watanzania wengi wamepoteza kitambulisho cha mpiga kura.
Hayo yamebainika wakati wananchi wakijiandikisha kwa ajili ya kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019.
Akizungumza leo Jumatano Oktoba 16, 2019 katika mkutano wa tume na wadau wa uchaguzi mjini Dodoma mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage amesema